Jay-Z Amuita Lil Wayne Mwoga na Mzembe: Je, Hii Ni Beef Kubwa?#shortsfeed

Votre vidéo commence dans 10
Passer (5)
cash machine v4

Merci ! Partagez avec vos amis !

Vous avez aimé cette vidéo, merci de votre vote !

Ajoutées by admin
12 Vues
Katika video hii, tunachambua vikali kauli za msanii Jay-Z dhidi ya Lil Wayne, ambapo Jay-Z amedai kwamba Lil Wayne hana uwezo wa ku-perform jukwaani na kwamba maneno yake ni ya kipuzi! Lakini je, kuna ukweli wowote kwenye maneno haya? Tunajua Lil Wayne ni mtaalamu wa lugha, na uwezo wake wa kuchezea maneno na 'flow' yake ni ya kipekee. Jay-Z anazidi kumdhalilisha Wayne kwa kudai kuwa anaathirika na madawa ya kulevya. Je, unakubaliana na kauli hizi au unadhani Wayne ana uwezo wa kipekee jukwaani? Niachie maoni yako kwenye sehemu ya comment.
#jayz #lilwayne #celebritynews #shortsfeed #lifestyle
Catégories
Divers News Artistes
Mots-clés
#jayz, #lilwayne, #celebritiesnews

Ajouter un commentaire

Commentaires

Soyez le premier à commenter cette vidéo.